"· Preventing unwanted pregnancy (Family Planning)· Protection against Aids and other Sexually Transmitted DiseasesHow to use a condom correctly· Ensure that there is no air trapped at the tip of the condom by pressing the tip as you roll it onto an erect penis· Fit it onto an erect penis by rolling it upto the base of the penis.· After ejaculation, withdraw the penis immediately, remove the condom, wrap it with a paper / tissue and flush it or drop it into a pit latrine.· Use one condom for every ejaculation· Always store unused condoms in a cool placePlan your family and protect yourself from getting AIDS and other sexually transmited diseases by using condomTumia vifuko vya mipira kwa:· Kupanga uzazi.· Kujikinga kwa ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa.Jinsi ya kutumia kifuko cha mpira vizuri· Hakikisha ya kwamba hakuna hewa ndani ya kifuko cha mpira (Kondom) kwa kufinya ncha yake wakati unaingiza· Ingiza uume ikiwa wima kwa kifuko cha mpira.· Toa kifuko cha mpira mara moja baada ya kushusha na ufunge kwa karatasi kisha utue katika ndani ya choo.· Weka kondom ambazo kazijatumika mahali pasipo na joto.Panga uzazi na ujikinge na ukimwi pamoja na magonjwa mengine ya zinaa kwa kutumia kifuko cha mpira (kondom)""Produced by Ministry of Health, Division of Environmental Health in Conjunction with UNFPA"